Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza mchakato wa uchaguzi mkuu wa TFF utakaofanyika 16 August 2025 jijini Tanga
Katika uchaguzi huo nafasi zinazowaniwa ni Rais na Wajumbe 6 wa Kamati ya Utendaji
Gharama ya fomu ya Urais ni Tsh 500,000/- na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ni Tsh 200,000/-
Fomu zitaanza kutolewa Jumatatu Juni 16 hadi Juni 20 2025 Makao Makuu ya TFF na kwenye tovuti ya TFF




