Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Uchaguzi Mkuu TFF kufanyika August 16 Tanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Jun 2025
Uchaguzi Mkuu TFF kufanyika August 16 Tanga

Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetangaza mchakato wa uchaguzi mkuu wa TFF utakaofanyika 16 August 2025 jijini Tanga

Katika uchaguzi huo nafasi zinazowaniwa ni Rais na Wajumbe 6 wa Kamati ya Utendaji

Gharama ya fomu ya Urais ni Tsh 500,000/- na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ni Tsh 200,000/-

Fomu zitaanza kutolewa Jumatatu Juni 16 hadi Juni 20 2025 Makao Makuu ya TFF na kwenye tovuti ya TFF

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’