Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Mechi za raundi ya 29 NBC PL leo Jumatano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Jun 2025
Mechi za raundi ya 29 NBC PL leo Jumatano

Ili kuhakikisha hakuna upangaji wa matokeo ya namna yoyote, mechi za ligi kuu ya NBC raundi ya 29 na 30 zitapigwa saa 10 jioni

Mechi zote za raundi ya 29 zitapigwa leo Jumatano Juni 18 na raundi ya 30 zitapigwa Jumapili Juni 22 2025

Jumatano mabingwa watetezi Yanga watakuwa Mbeya kumenyana na Tanzania Prisons huku watani zao Simba wakiumana na KenGold mkoani Tabora

Wakati timu nyingine zitamaliza msimu Jumapili, Yanga na Simba zitahitimisha msimu siku ya Jumatano, Juni 25 dimba la Benjamin Mkapa kwa mchezo namba 184 kupigwa

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’