Beki wa Manchester City na timu ya taifa ya Uingereza Kyle Walker, 35, amekubali kujiunga na Everton kwa mkataba wa mwaka mmoja. (Sun)
Mshambuliaji wa Brentford na Cameroon Bryan Mbeumo, 25, anapigiwa upatu kuelekea Manchester United badala ua Tottenham Hotspur, licha ya mkufunzi wake wa zamani Thomas Frank kujiunga na Tottenham. (Sky Sports News)





