Nyota wa zamani wa Yanga SC na Taifa Stars, Ally Mayay ametangaza rasmi nia ya kugombea Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 16, 2025, jijini Tanga.
Mayay, anayejulikana kwa uzalendo wake, umahiri ndani na nje ya uwanja na ushawishi mkubwa katika mijadala ya soka kitaifa, anaingia kwenye mbio hizi akiwa na malengo ya kuleta..... download Xtra 90 App



