Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2025/26 kati ya Yanga na Simba zinazidi kunoga na lugha rahisi unayoweza kusema vita yao ni ngβadu kwa ngβadu kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo.
Jana miamba hiyo yote ilikuwa ugenini, ambapo Yanga ilikuwa Uwanja wa Sokoine Mbeya ikicheza dhidi ya Prisons na kuibuka na ushindi wa mabao 0-5 huku Simba pia ikiwa ugenini Uwanja wa..... download Xtra 90 App



