Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko muhimu katika safu yake ya uongozi kufuatia kuondoka kwa viongozi wawili wakuu, Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu waliotoka kwenye nafasi hizo kwa sababu tofauti mnamo Juni 13, 2025.
Katika hatua ya kuhakikisha utendaji wa bodi haukwami, TPLB imemteua Makamu Mwenyekiti wake, Nassor Idrissa βFatherβ, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Azam FC,..... download Xtra 90 App



