Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2025) inakaribia kwa kasi, huku maandalizi yakifikia kilele katika nchi tatu zinazoshirikiana kuandaa tukio hili kubwa la soka Tanzania, Kenya, na Uganda.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya CHAN, michuano hii itachezwa katika mfumo wa ushirikiano wa kikanda, hali inayoongeza upekee na uzito wa mashindano..... download Xtra 90 App



