Wanasema dalili ya mvua ni mawingu ndivyo unavyoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kugomea mkutano wa mechi unaohusu makocha na manahodha wa timu kuelekea mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga dhidi ya Simba ambao umepangwa kupigwa kesho Jumatano, Juni 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Kocha wa Yanga pamoja na nahodha wa timu hiyo walifika katika Mkutano huo lakini sio kocha Fadlu Davids..... download Xtra 90 App



