Klabu ya Simba SC iko katika hatua za mwisho za mazungumzo na Kocha Mkuu wao, Fadlu Davids, kuhusu kuhuisha mkataba wake ambao umemalizika rasmi.
Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zimeeleza kuwa tayari Fadlu amekutana na viongozi wa juu wa Simba SC kukamilisha mazungumzo kwa ajili ya kuongeza muda wa mkataba wake.
Hatua hii imechochewa na kazi nzuri aliyoifanya msimu huu, ambapo..... download Xtra 90 App



