Azam Fc imekamilisha usajili wa beki wa Coastal Union na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Lameck Lawi, imefahamika
Lawi ametua Azam Fc akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba kunako klabu ya Coastal Union
Azam Fc imezipiku klabu za Simba na Yanga katika usajili wa beki huyo mwenye umri wa miaka 20
Msimu uliopita Simba iliingia katika mgogoro na Coastal Union kwa..... download Xtra 90 App



