Klabu ya Simba SC ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha dili la kumuongeza mkataba nahodha na beki wa kushoto wa muda mrefu, Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr', ambaye amekuwa nguzo muhimu kwenye kikosi cha wekundu wa Msimbazi kwa misimu kadhaa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba, makubaliano kati ya mchezaji huyo na klabu tayari yamefikiwa, na kilichosalia ni utiaji..... download Xtra 90 App



