Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' jana aliongoza kikao cha Bodi kufanya tathmini ya msimu uliopita na kuweka mikakati ya maboresho kuelekea msimu ujao wa mashindano 2025/26
Katika hicho, Bodi ilipata nafasi ya kupitia na kujadili ripoti iliyowasilishwa na Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids ambayo ina mapendekezo..... download Xtra 90 App



