Local,Transfer News,Singida, Yanga

Gamondi atua Singida BS

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Jul 2025
Gamondi atua Singida BS

Kocha Miguel Gamondi raia wa Argentina amejiunga na Singida Black Stars kuwa Kocha Mkuu akisaini mkataba wa mwaka mmoja

Taarifa ya Singida BS, zimethibitisha tayari kocha huyo wa zamani wa Yanga amesaini mkataba wa kuinoa Singida BS

Anatarajiwa kutua nchini Julai 22 tayari kwa maandalizi ya msimu mpya 2025/26. Singida BS inatarajiwa kuanza rasmi pre-season Julai 25

Wakati akiinoa Yanga, Gamondi aliiwezesha kutwaa taji la Ligi Kuu, Ngao ya Jamii na kombe la CRDB huku pia akiiwezesha Yanga kucheza robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
3h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
3h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
4h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
5h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
5h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
6h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
7h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
21h ago
READ MORE β†’