Mabosi wa Simba wako sokoni kutafuta golikipa mwingine wa Kimataifa na endapo kama wafanikiwa katika mpango wake, ni wazi golikipa wake namba moja Moussa Camara hatma yake itakuwa shakani
Kuanzia msimu ujao mabadiliko ya kanuni hayataruhusu klabu kuwa na zaidi ya golikipa mmoja wa kigeni
Licha ya kuibuka na tuzo ya golikipa bora wa ligi kuu ya NBC msimu uliomalizika baada ya..... download Xtra 90 App



