Mashabiki wa Simba SC wamejaa hamasa. Kwa miezi kadhaa sasa, uvumi umeenea kwamba kiungo nyota wa Azam FC, Feisal Salum, yupo mbioni kujiunga na mabingwa hao wa zamani wa Tanzania katika dirisha hili la usajili la Julai na dili linaonekana kuwa karibu kutimia.
Feisal ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu, kwa sasa anatizamwa kama kiungo bora katika eneo la ushambuliaji msimu..... download Xtra 90 App



