Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga Kennedy Musonda raia wa Zambia, amejiunga na klabu ya Hapoel Ramat Gan inayoshiriki ligi daraja la kwanza Israel
Musonda amejiunga na timu hiyo akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Yanga
Baada ya miaka miwili na nusu ya mafanikio akiwa na Yanga, Musonda jana aliwaaga mashabiki na wanachama wa Yanga kwa ushirikiano aliopata katika..... download Xtra 90 App



