Juzi Azam Fc ilimtambulisha Florent Ibenge (63) kuwa Kocha Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza kulingana na mafanikio.
Ibenge, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alikuwa Kocha Mkuu wa Al Hilal ya Sudan, amejiunga Azam akirithi mikoba ya Rachid Taoussi aliyemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu.
Akizungumza wakati wa hafla ya utambulisho..... download Xtra 90 App



