Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ alfajiri ya leo kimeelekea Misri kuweka kambi kwaajili ya maandalizi ya michuano ya CHAN.
Michuano hiyo inatarajiwa kutimua vumbi kuanzia August 02 katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda
Stars ipo kundi B, pamoja na Madagascar, Mauritania, Burkinafaso, pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Stars itacheza mchezo wa ufunguzi dhidi ya Burkinafaso Agusto 2, 2025 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kikosi kilichoelekea kambini Misri




