Napoli wamerejea tena kumuwania winga wa Manchester United na Argentina Alejandro Garnacho, 21, na wanatumai wanaweza kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 kwa pauni milioni 45 (Mirror).
United wanaendelea kuwa na matumaini ya kukubaliana na Brentford na mshambuliaji wa Cameroon Bryan Mbeumo, 25, kwa wakati ili mshambuliaji huyo awe sehemu ya ziara yao ya maandalizi ya msimu..... download Xtra 90 App



