Singida BS yamsajili Kijili

Joel JJ By Joel JJ β€’ 11th July 2025


Singida BS yamsajili Kijili

Klabu ya Singidaa Black Stars imethibitisha kumsajili aliyekuwa mlinzi wa Simba Kelvin Kijili

Kijili ameondoka Simba akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika

Ni kama amerejea nyumbani kwani Simba ilimsajili mchezaji huyo msimu uliopita kutoka Singida BS

Nafasi yake katika kikosi cha kwanza cha Simba ilikuwa finyu mbele ya Shomari Kapombe na David Kameta


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.