Klabu ya Singidaa Black Stars imethibitisha kumsajili aliyekuwa mlinzi wa Simba Kelvin Kijili
Kijili ameondoka Simba akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika
Ni kama amerejea nyumbani kwani Simba ilimsajili mchezaji huyo msimu uliopita kutoka Singida BS
Nafasi yake katika kikosi cha kwanza cha Simba ilikuwa finyu mbele ya Shomari Kapombe na David Kameta



