Beki wa kati wa Simba Che Malone Fondoh anahusishwa na klabu ya USM Alger ya Algeria, imefahamika
Kwa mujibu wa mwanahabari maarufu wa Ghana Micky Junior, mazungumzo baina ya Che Malone na klabu hiyo yanaendelea
Che Malone amemaliza mkataba na Simba, mpaka sasa hakuna uhakika kama ataendelea kusalia Msimbazi msimu ujao
Aidha inaelezwa Simba iko kwenye mazungumzo na beki raia..... download Xtra 90 App



