Azam Fc imeanza mazungumzo na Al Hilal ya Sudan ili kupata saini ya beki wa kulia, mkongomani Steven Ebuela, ambaye yuko nchini kwa takriban wiki sasa.
Azam imeanza maandalizi mapema ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025/26, ikiwatambulisha baadhi ya wachezaji wake akiwemo kipa Aishi Manula, Muhsin Malima, Lameck Lawi na Kocha Florent Ibenge.
Sasa timu hiyo imeanza mazungumzo na Al..... download Xtra 90 App



