Mshambuliaji wa Yanga SC, Clement Mzize, bado yuko njia panda kuhusu hatma yake ya kutua klabu ya Zamalek ya Misri, licha ya awali kuonekana kama dili lililokamilika.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya karibu na mchezaji huyo, tayari Yanga ilikuwa imekubaliana na Zamalek kuhusu uhamisho wake, lakini mvutano wa kimaslahi kati ya wasimamizi wa Mzize na klabu hiyo ya Cairo umechelewesha..... download Xtra 90 App



