Rais wa heshima wa klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' amesema ametenga fedha za kutosha kwa ajili ya usajili ili kuhakikisha kikosi cha Simba kinafanyiwa maboresho muhimu ili kufanya vyema zaidi msimu ujao
Mo alitoa kauli hiyo jana katika tamko maalum alilotoa kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii
Aidha Mo amewataka Wanasimb kuwa wamoja katika kupigania malengo ya..... download Xtra 90 App



