Yanga inatarajiwa kutumia michuano ya CHAN 2024 itakayoanza August 02 hadi August 30 kusaka wachezaji mahiri wa kuwasajili, imefahamika
Akizungumza hivi karibuni, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe alisema usajili wa timu hiyo umekamilika kwa asilimia 85





