Baada ya tetesi zilizoenea kwa wiki kadhaa, hatimaye ukweli umefahamika, aliyekuwa kocha msaidizi wa Mamelodi Sundowns, Romain Folz, yupo mbioni kutangazwa rasmi kama kocha mkuu mpya wa klabu ya Yanga.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 35 anarudi katika soka la CAF Champions League kupitia dili hili kubwa na vigogo hao wa soka Afrika Mashariki waliomaliza msimu wa 2024/25 wakiwa na mataji..... download Xtra 90 App



