Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amewataka mashabiki wa timu hiyo kusubiri taarifa rasmi ya uongozi kuhusu hatma ya nahodha wa timu hiyo Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Ahmed amekiri Zimbwe Jr amemaliza mkataba wa kuitumikia Simba na viongozi wamefanya jitihada kumuongezea mkataba mpya
Msemaji huyo wa Wekundu wa Msimbazi, amesema mashabiki wasubiri kile ambacho..... download Xtra 90 App



