Local,Transfer News,Yanga, Simba

Tshabalala aiweka njia panda Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Jul 2025
Tshabalala aiweka njia panda Simba

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amewataka mashabiki wa timu hiyo kusubiri taarifa rasmi ya uongozi kuhusu hatma ya nahodha wa timu hiyo Mohammed Hussein 'Tshabalala'

Ahmed amekiri Zimbwe Jr amemaliza mkataba wa kuitumikia Simba na viongozi wamefanya jitihada kumuongezea mkataba mpya

Msemaji huyo wa Wekundu wa Msimbazi, amesema mashabiki wasubiri kile ambacho viongozi watafanya kuhusu mchezaji huyo kwa kuzingatia maslahi mapana ya klabu

"Wanasimba hawapaswi kuwa na taharuki, wanachopaswa ni kutulia kusubiri taarifa rasmi ya klabu. Ni Kweli Mohamed Hussein "Tshabalala" amemaliza mkataba wake ndani ya Simba SC"

"Zipo juhudi ambazo zimewahi kufanyika kwa ajili ya kumbakisha kunako Klabu yetu. Kila mmoja anafahamu umuhimu wake, kila mmoja anafahamu thamani yake na kila mmoja anafahamu historia njema ya Mohamed Hussein pamoja na Simba SC"

"Zipo Juhudi ambazo zimefanyika kumbakisha mchezaji lakini ni lazima wanasimba tuwe tayari kupokea taarifa yoyote ambayo viongozi wetu wataamua kuhusiana na Mohamed Hussein 'Tshabalala', " Ahmed aliiambia eFM redio

Tetesi zinamuhusisha Tshabalala kutua klabu ya Yanga baada ya mkataba wake na Simba kufikia tamati

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’