Jana Yanga ilitambulisha usajili wa kwanza katika dirisha hili, kiungo mkabaji Moussa Balla Conte aliyetua kutoka klabu ya CS Sfaxien
Conte alitua nchini mapema jana na kusaini mkataba wa miaka mtatu ambao utamuweka Jangwani hadi Julai 2028
Awali Yanga ilipanga kuanza kutoa taarifa za usajili siku ya Jumapili, Julai 20 lakini sintofahamu iliyogubika usajili wa nyota huyo ilipelekea..... download Xtra 90 App



