Local,Normal News,Simba

Tunafanya usajili bora zaidi - Ahmed

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Jul 2025
Tunafanya usajili bora zaidi - Ahmed

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali ameendelea kusisitiza na kuwataka Wanamsimbazi wawe watulivu wakati uongozi ukikamilisha michakato ya usajili

Ahmed amesema usajili uliofanyika katika dirisha hili ni bora pengine kuliko katika wakati mwingine wowote kwa sababu ni mapendekezo ya benchi la ufundi kwa asilimia 100

"Timu inaendelea na usajili, tunasubiri muda tuanza kuwatangaza, viongozi wetu wametapakaa nchi mbalimbali hapa Afrika kwa ajili ya kumalizana na wachezaji husika ili tuwalete ndani ya klabu yetu"

"Niseme kitu kimoja muhimu, katika miaka mingi ya Simba Sc, huu ndio mwaka ambao tunafanya usajili unaotokana na mapendekezo ya benchi la ufundi kwa asilimia 100"

"Tunafanya usajili kutokana na mapendekezo ambayo yametolewa na Mwalimu Fadlu Davids"

"Safari hii sitakuwa na mambo mengi sana kwenye usajili, nitakuwa nadondosha kidogi kidogo mashine zikitua, nitaacha watu waone wenyewe aina ya mali ambazo tutazishusha," alitamba Ahmed

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’