Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali ameendelea kusisitiza na kuwataka Wanamsimbazi wawe watulivu wakati uongozi ukikamilisha michakato ya usajili
Ahmed amesema usajili uliofanyika katika dirisha hili ni bora pengine kuliko katika wakati mwingine wowote kwa sababu ni mapendekezo ya benchi la ufundi kwa asilimia 100
"Timu inaendelea na usajili, tunasubiri muda..... download Xtra 90 App



