Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimemaliza kambi yake nchini Misri waliyokaa kwa siku 10 na kimerejea Tanzania leo
Kikosi hicho kabla ya kucheza mchezo wa ufunguzi wa CHAN dhidi ya Burkinafaso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, itacheza mechi tatu za kirafiki kwenye uwanja wa Black Rhino, Karatu
Stars itacheza dhidi ya Senegal, Kenya na Uganda katika mashindano..... download Xtra 90 App



