Simba iko katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa mlinzi wa kushoto Khadim Diaw anayetua kutoka klabu ya Al Hilal
Diaw anachukua nafasi ya Mohammed Hussein aliyeachwa baada ya mchakato wa kumuongezea mkataba kukwama
Diaw sasa anakwenda kuwa chaguo la kwanza katika safu ya ulinzi upande wa kushoto
Khadim Diaw ni miongoni mwa wachezaji muhimu katika kikosi cha Al Hilal..... download Xtra 90 App



