Real Madrid wanamfuatilia beki wa Arsenal na Ufaransa William Saliba, 24 (L'Equipe). Bosi wa Manchester United, Ruben Amorim, anataka kusajii wachezaji wawili zaidi katika dirisha hili la usajili (Mirror).
United pia wamepeleka ofa kwa ajili ya mshambuliaji wa Sporting Viktor Gyokeres, 27, na wanatumai wanaweza kumshawishi ajiunge nao na kuiacha Arsenal (A Bola).





