Manchester United wanaangalia uwezekano wa kumsajili Emi Martinez lakini huenda wakakatishwa tamaa na dau la Β£40 milioni linalotakiwa na Aston Villa kwa kipa huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 32. (Mail)
Winga wa Colombia, Luis Diaz, mwenye umri wa miaka 28, bado ana dhamira ya kuondoka Liverpool katika dirisha hili la usajili wa majira ya kiangazi, na anatumai Bayern Munich..... download Xtra 90 App



