Kiungo mahiri Mudathir Yahya bado yupo sana na Wananchi kwani mabingwa hao wa soka Tanzania Bara wamethibitisha ameongeza mkataba wa miaka miwili
Ukizungumzia wachezaji waliokuwa na mchango mkubwa katika mafanikio ya Yanga kwenye misimu miwili iliyopita, Mudathir ni mmoja wao
Kulikuwa na majaribio ya hapa na pale kumn'goa Mudathir ambapo klabu ya Simba ilikaribia kumsajili kabla ya..... download Xtra 90 App



