Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amesema mipango ya maandalizi ya msimu mpya 'pre-season' inaendelea ambapo klabu itaanza maandalizi ya awali hapa nchini kabla ya kusafiri nje ya nchi
Ahmed amesema mwishoni mwa mwezi huu wachezaji watarejea kambini kwa ajili ya taratibu za awali za maandalizi hayo
"Kwa wachezaji ambao tunaendelea nao nafikiri wao tayari..... download Xtra 90 App



