Mpaka sasa inaelezwa Simba imekamilisha usajili wa nyota watano wa kigeni katika mkakati wa kukiboresha kikosi cha Simba kuelekea mikiki mikiki ya michuano mbalimbali msimu ujao
Katika orodha hiyo kuna mawinga wawili, beki wa kushoto, kiungo mkabaji na mshambuliaji mmoja
Winga Mofosse Tresor Karidioula kutoka klabu ya Haras El Hodood ya Misri anatajwa kuwa mchezaji wa kwanza..... download Xtra 90 App



