Klabu ya Dodoma Jiji imethibitisha kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mecky Mexime
Aidha taarifa iliyotolewa na klabu hiyo mapema leo, wamethibitisha kulivunja benchi lote la ufundi

Klabu ya Dodoma Jiji imethibitisha kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mecky Mexime
Aidha taarifa iliyotolewa na klabu hiyo mapema leo, wamethibitisha kulivunja benchi lote la ufundi

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.