International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu Julai 28 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
28 Jul 2025
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatatu Julai 28 2025

Aston Villa iko tayari kuchuana na AC Milan na Newcastle katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Dominic Calvert-Lewin, 28, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Everton. (Sun)

Newcastle inatarajia kupokea ofa rasmi kutoka kwa Liverpool kwa ajili ya mshambuliaji wa Sweden Alexander Isak, 25, wiki ijayo. (Mail)

Manchester United imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Paris St-Germain na Ufaransa Randal Kolo Muani, 26, ambaye pia anawaniwa zaidi na Juventus. (Gazzetta dello Sport - kwa Kiitaliano)

Winga wa Ecuador Jeremy Sarmiento, 23, yuko tayari kuondoka Brighton msimu huu wa kiangazi lakini anataka kubaki Ulaya. (Athletic - usajili unahitajika)

Leeds imewasilisha ofa ya pili ya euro 32m (Β£28m) kumsajili winga wa Feyenoord wa Brazil Igor Paixao, 25. (L'Equipe - kwa Kifaransa)

Burnley inamfukuzia mlinda lango wa Uingereza Sam Johnstone, 32, kutoka Wolves huku wakimtafuta mchezaji atakayechukua nafasi ya James Trafford, 22, ambaye amejiunga na Manchester City. (Sun)

Klabu za Newcastle na Tottenham zinavutiwa na mchezaji wa Arsenal Gabriel Jesus, 28, lakini mshambuliaji huyo wa Brazil pia anasakwa na Barcelona, AC Milan na Inter Milan. (Caught Offside)

West Ham wanamfuatilia kipwa wa Sheffield United Muingereza Michael Cooper, 25. (Sun)

Toulouse wameanza mazungumzo na Brighton kuhusu kiungo wa Malick Yalcouye mwenye umri wa miaka 19. (Fabrizio Romano)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
47m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’