Aston Villa iko tayari kuchuana na AC Milan na Newcastle katika kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Uingereza Dominic Calvert-Lewin, 28, ambaye ni mchezaji huru baada ya kuondoka Everton. (Sun)
Newcastle inatarajia kupokea ofa rasmi kutoka kwa Liverpool kwa ajili ya mshambuliaji wa Sweden Alexander Isak, 25, wiki ijayo. (Mail)





