Maximo atua kuinoa KMC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 28th July 2025


Maximo atua kuinoa KMC

Klabu ya KMC inatarajiwa kumtangaza kocha Marcio Maximo kuwa mkufunzi wa timu hiyo

Maximo aliyewahi kuifundisha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' na klabu ya Yanga, tayari yuko jijini Dar es salaam

Shamra shamra za kocha huyo raia wa Brazil huenda zikajiri leo pale Manispaa ya Kinondoni

Baada ya kupata mafanikio wakati akiinoa timu ya Taifa, hatimaye Maximo amerejea tena kwa mara ya tatu baada ya awamu yake ya pili na Yanga kutompa mafanikio makubwa


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.