Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuondoka nchini kesho Jumatano kuelekea Misri kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano, 2025/26
Taarifa iliyotolewa na Simba mapema leo, imebainisha kuwa timu itaondoka Alfajiri, kambi hiyo ikitarajiwa kuwa mji wa Ismailia
Wachezaji wapya wanaungana na wenzao wanaoitumikia Simba tangu msimu uliopita kuelekea katika kambi hiyo





