Klabu ya Simba leo imeingia makubaliano ya udhamini na kampuni ya BETWAY kutoka Uingereza. Mkataba huo wa miaka mitatu una thamani ya Tsh Bilioni 20
Akizungumza katika tukio la kusainiwa mkataba huo liliyofanyika Johari Rotana Hotel jijini Dar es salaam mapema leo, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Simba Zubeda Sakuru amesema makubaliano hayo yanakwenda kuleta Mapinduzi kwenye mchezo wa mpira wa..... download Xtra 90 App



