International,Transfer News,

Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano Julai 30 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Jul 2025
Tetesi za usajili Ulaya, Jumatano Julai 30 2025

Manchester United ina mpango wa kumsajili kipa wa England Nick Pope, 33, endapo Newcastle itakamilisha dili la kumsajili mlinda lango wa Southampton 27 Aaron Ramsdale, 27. (Sportsport)

Newcastle imekubaliana na Southampton kumsajili Ramsdale kwa mkopo na chaguo la kufanya mkataba huo kuwa wa kudumu mwishoni mwa msimu huu. (Athletic - usajili unahitajika)

Manchester United pia ina nia ya kumsajili mlinda lango wa Paris St-Germain na Italia Gianluigi Donnarumma, lakini inasita kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 na Manchester City . (Sun)

Arsenal bado inamtaka winga wa Uingereza Eberechi Eze, 27, lakini haiko tayari kutimiza masharti ya kulipa ada ya zaidi ya Β£60m hadi Crystal Palace itakapopunguza bei ya mchezaji huyo. (Athletic - michango inahitajika)

Manchester City imekataa dau la pauni milioni 25 lililowasilishwa na Nottingham Forest kumsajili kiungo wa Uingereza James McAtee, 22. (Sky Sports)

Paris St-Germain imepiga hatua katika juhudi za kufikia mkataba na Bournemouth kumsajili beki wa Ukraine Illia Zabarnyi, 22. (Fabrizio Romano)

Borussia Dortmund inafuatilia hali ya winga wa Arsenal Leandro Trossard, 30, lakini mshambuliaji huyo wa Ubelgijy pia anasakwa na vilabu viwili vya Ligi ya Premia. (Sky Sports Germanu)

Klabu ya Lyon ya Ufaransa inavutiwa na kiungo wa Uingereza Tyler Morton, 22, na tayari imewasiliana na Liverpool. (Times)

BBC

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’