Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Tanzania iko tayari kwa ufunguzi CHAN 2024

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Jul 2025
Tanzania iko tayari kwa ufunguzi CHAN 2024

Jumamosi August 02 2025 timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itaweka karata yake ya kwanza katika michuano ya CHAN 2024 itakapoikaribisha Burkina Faso katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo inayofanyika kwa mara ya kwanza katika ukanda wa Afrika Mashiriki katika nchi za Tanzania Bara, Zanzibar, Kenya na Uganda

Tanzania imepewa heshima ya kipekee kwani uzinduzi wa michuano hiyo utafanyika hapa nchini

Ni wazi CAF wameichagua Tanzania kuzindua michuano hiyo kutokana na hamasa ya mashabiki, Tanzania imejipambanua kwa mashabiki kujitokeza kwa wingi viwanjani

Tiketi zinaendelea kuuzwa hivyo kama hujakata tiketi yako, bado una siku mbili. Hili ni jambo letu kama Watanzania, hivyo tujitokeze kwa wingi kuiunga mkono timu yetu ya Taifa

Tanzania ni moja ya timu zinazopewa nafasi ya kufanya vizuri katika michuano hii kutokana na ubora wa kikosi chake

INAWEZEKANA kombe hili likabaki hapa Tanzania, kwa umoja, ushirikiano na sapoti ya Watanzania wote, INAWEZEKANA

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
15h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
16h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
18h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’