Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Tanzania yatakata CHAN, yaichapa Burkina Faso 2-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Aug 2025
Tanzania yatakata CHAN, yaichapa Burkina Faso 2-0

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeanza vyema kampeni ya kuwania taji la michuano ya CHAN 2024 ikiichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Stars ilitawala mchezo huo pengine kama safu ya ushambuliaji wangekuwa makini, mabao zaidi yangefungwa

Bao la kwanza lilipatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Clement Mzize kufanyiwa madhambi katika eneo la hatari

Abdul Suleiman Sopu alitumia vyema pigo hilo la penalti kuiandikia Stars bao la uongozi likiwa ni bao la kwanza katika michuano hiyo

Kipindi cha pili Stars iliendelea kutawala mchezo na kufanikiwa kuongeza bao la pili kupitia kwa Mohammed Hussein 'Zimbwe Jr' aliyemalizia krosi ya Idd Nado ndani ya eneo la hatari

Ni ushindi muhimu ambao unafuta rekodi mbaya ya Tanzania kutopata ushindi katika michuano hiyo hii ikiwa mara ya tatu kushiriki

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’