Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeanza vyema kampeni ya kuwania taji la michuano ya CHAN 2024 ikiichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa
Stars ilitawala mchezo huo pengine kama safu ya ushambuliaji wangekuwa makini, mabao zaidi yangefungwa
Bao la kwanza lilipatikana kupitia mkwaju wa penati baada ya Clement Mzize kufanyiwa madhambi..... download Xtra 90 App



