Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso, juzi usiku kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza soka kwenye ligi za ndani ya nchi zao (CHAN), Kocha Mkuu wa Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman 'Morocco', amesema walichokiona Watanzania ni kidogo tu, kwani watarajie makubwa kwenye kikosi hicho, akitamba kufanya vyema katika michezo..... download Xtra 90 App



