Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amesema wamepania kuendeleza mafanikio katika soka la ndani na zaidi kufanya vyema zaidi katika michuano ya ligi ya mabingwa (CAF CL) msimu ujao
Kamwe ametamba kuwa pesa nyingi zimetumika katika dirisha hili la usajili ili kuleta wachezaji ambao watatimiza mipango ya Yanga katika michuano hiyo ya ligi ya..... download Xtra 90 App



